Powered by: Elbahsan Web & Blog Designer
Do want your Network!!! Website or Blog-Spot, Try Us: Elbahsan Web & Blog Designer Contact Us Now... Calll; +255743550360 | +255788680558 Email; murtadhaalbahsan@gmail.com

Zawamba Photo Production

Jumatatu, 29 Agosti 2016

TANZANIA YASHIRIKI KATIKA JAMBOREE YA 7 YA SKAUTI AFRIKA NCHINI IVORY COAST














Chama cha Skuti Tanzania kimepeleka wawakilishi wawili kushiriki katika jamboree ya 7 ya skauti Afrika (Rashid Mchatta "Naibu Kamishna Mkuu" - Mshiriki na Murtadhwa Rashid "Mwenyekiti wa Jukwaa la Vijana Afrika Mashariki - Muwezeshaji "MoP"), jamboree ya 7 ya skauti Afrika iliyofanyika nchini Ivory Coast ambayo imejumuisha jumla ya nchi 17 kutoka Afrika na nje ya Afrika amabzo ni ;-

- Benin 58
- Zimbabwé 01
- Côte d’Ivoire 644
- Niger 76
- Nigeria 39
- Togo 24
- Burkina Faso 64
- Mali 12
- Tanzanie 01
- Kenya 05
- Rwanda 01
- Pologne 02
- Zimbabwé 01
- Corée 02
- Guinée 46
- Ghana 26
- Congo (RDC) 03

Picha na Murtadhwa Elbahsan






























Hakuna maoni:

Chapisha Maoni