Powered by: Elbahsan Web & Blog Designer
Do want your Network!!! Website or Blog-Spot, Try Us: Elbahsan Web & Blog Designer Contact Us Now... Calll; +255743550360 | +255788680558 Email; murtadhaalbahsan@gmail.com

Zawamba Photo Production

Jumamosi, 11 Februari 2017

Tanzania Scouts Charity Walk 18-02-2017

 

Chama cha Skauti Tanzania Tunawakaribisha skauti wote, wazazi na rafiki wa skauti wote kwenye matembezi ya Hisani kwa ajili ya kuchangisha fedha za kufankisha Maadhimisho ya Siku ya Skauti Afrika na Miaka 100 ya Skauti Tanzania yatakayo fanyika tarehe 18/02/2017 jijini DSM.
Matembezi yataanzia makao makuu ya skauti Upanga, muda wa kuripoti ni saa 12.00 asubuhi na kumalizikia Police Officers Mess Oysterbay 6.00 mchana.

Mgeni rasmi ni Mh. Ally Hassan Mwinyi Rais Mstaafu na Mdhamini wa Chama cha Skauti Tanzania.
Kiwango cha ushiriki ni kuanzia 15,000/ na kuendelea. Fomu za kuchangia zinapatikana skauti makao makuu.

Ungana nasi kwa kijaza fomu mtandaoni kupitia link hii hapa chini....
https://tanzaniascout.org/2017/02/01/charity-walk/

Mawasiliano.
info@tanzaniascout.org / tscouts2092@gmail. Com
Www.tanzaniascout.org

#nimatembeziyetu

 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni