Powered by: Elbahsan Web & Blog Designer
Do want your Network!!! Website or Blog-Spot, Try Us: Elbahsan Web & Blog Designer Contact Us Now... Calll; +255743550360 | +255788680558 Email; murtadhaalbahsan@gmail.com

Zawamba Photo Production

Jumatatu, 29 Mei 2017

Watoto Saida na Wilson wameruhusiwa kutoka Hospital Mercy Marekani

Majeruhi  wa ajali  ya gari iliyohusisha vifo 35 vya wanafunzi, walimu pamoja na dereva wa shule ya msingi Luck Vicent  wilayani Karatu, Watoto Sadia na Wilson pamoja na wazazi wao wakiwa kwenye gari maalum ya wagonjwa baada ya kuruhusiwa kutoka hospitali ya Mercy Marekani ambapo walipelekwa kwa matibabu zaidi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni