Powered by: Elbahsan Web & Blog Designer
Do want your Network!!! Website or Blog-Spot, Try Us: Elbahsan Web & Blog Designer Contact Us Now... Calll; +255743550360 | +255788680558 Email; murtadhaalbahsan@gmail.com

Zawamba Photo Production

Jumamosi, 18 Novemba 2017

MAKONDA: HUDUMA A AFYA NI BURE



Madaktari Bingwa na Wataalamu wa Afya 381 kutoka Jeshi la China wanatarajia kuwasili kwa meli katika bandari ya Dar es Salaam tarehe 19 Novemba 2017 kwaajili ya kufanya matibabu bure kwa siku 7 ikiwa ni kuunga mkono juhudi za Mkuu a Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda katika kuhudumia wananchi.
Shime tujitokeze kwa wing ili tupate matibabu.




Hakuna maoni:

Chapisha Maoni